I bet Baks was thinking “Huyu kubaff ni naani? Na anavuta mkono kwa hewa kwa nini? Na ananishika mabega kwa nini? Na ananipatia picha yake kwa nini? Na huyu ADC ako waapi? Maavi ya kuku!”
“Huko una-point, kunaitwa Othaya. Na huko ndio mimi nilitoka. Na ndio nitarudiiiii. Wewe wacha kujifanya ndege. Hata kama unakimbia kama Wakiihuri. Hauna mabawa. Kwa hivyo wewe ni bure”
‘Wewe kazi yako ni kufanya nini? Kukimbia? Ukienda wapi? Kwa hivyo wewe ni mkimbizi? Kwa nini hujaenda Dadaab au Kakuma? Huko kuna wakimbizi wengiiiiiii’
“Na hizo gold medal nimesikia unajaza kwa kikapu, zita kusaidia nini? Hiyo ka-shirti umevaa, hata hakatoshi. Tunaona underwear yako. Ukiwa na gold na hautumii tutakupeleka huko Goldenberg Inquiry. Eh… chunga kidole”
Good pic and good comments. Here I was thinking that maybe sometimes I judge our leaders too harshly.
Why is it that they must be the centre of every single news item – the other day it was the world-cup – the photo of “our president” drooling over this cup nearly made me sick!
I bet Baks was thinking “Huyu kubaff ni naani? Na anavuta mkono kwa hewa kwa nini? Na ananishika mabega kwa nini? Na ananipatia picha yake kwa nini? Na huyu ADC ako waapi? Maavi ya kuku!”
Juu, juu, juu sana….
Classic pic! This dude looked like he had a ball and then some when he was in Kenya…
Sasa, uendelee kufanya hivyooo hivyoo hapo hapo…
“Huko una-point, kunaitwa Othaya. Na huko ndio mimi nilitoka. Na ndio nitarudiiiii. Wewe wacha kujifanya ndege. Hata kama unakimbia kama Wakiihuri. Hauna mabawa. Kwa hivyo wewe ni bure”
‘Wewe kazi yako ni kufanya nini? Kukimbia? Ukienda wapi? Kwa hivyo wewe ni mkimbizi? Kwa nini hujaenda Dadaab au Kakuma? Huko kuna wakimbizi wengiiiiiii’
“Na hizo gold medal nimesikia unajaza kwa kikapu, zita kusaidia nini? Hiyo ka-shirti umevaa, hata hakatoshi. Tunaona underwear yako. Ukiwa na gold na hautumii tutakupeleka huko Goldenberg Inquiry. Eh… chunga kidole”
I think it would have helped if Kibaki pulled the the pose too. That would have been iconic
Good pic and good comments. Here I was thinking that maybe sometimes I judge our leaders too harshly.
Why is it that they must be the centre of every single news item – the other day it was the world-cup – the photo of “our president” drooling over this cup nearly made me sick!
sorry.