I bet Baks was thinking “Huyu kubaff ni naani? Na anavuta mkono kwa hewa kwa nini? Na ananishika mabega kwa nini? Na ananipatia picha yake kwa nini? Na huyu ADC ako waapi? Maavi ya kuku!”
“Huko una-point, kunaitwa Othaya. Na huko ndio mimi nilitoka. Na ndio nitarudiiiii. Wewe wacha kujifanya ndege. Hata kama unakimbia kama Wakiihuri. Hauna mabawa. Kwa hivyo wewe ni bure”
‘Wewe kazi yako ni kufanya nini? Kukimbia? Ukienda wapi? Kwa hivyo wewe ni mkimbizi? Kwa nini hujaenda Dadaab au Kakuma? Huko kuna wakimbizi wengiiiiiii’
“Na hizo gold medal nimesikia unajaza kwa kikapu, zita kusaidia nini? Hiyo ka-shirti umevaa, hata hakatoshi. Tunaona underwear yako. Ukiwa na gold na hautumii tutakupeleka huko Goldenberg Inquiry. Eh… chunga kidole”
Good pic and good comments. Here I was thinking that maybe sometimes I judge our leaders too harshly.
Why is it that they must be the centre of every single news item - the other day it was the world-cup - the photo of “our president” drooling over this cup nearly made me sick!
sorry.
About Unique - just like everyone else. Manufactured and bottled in Kenya
@coldtusker That approach has failed for too many vendors - Microsoft & Palm in particular. Quality will always suffer if you do this in reply to coldtusker1 hr ago
1. archer
(24 Comments) | November 3rd, 2009 at 5:11 pm
I bet Baks was thinking “Huyu kubaff ni naani? Na anavuta mkono kwa hewa kwa nini? Na ananishika mabega kwa nini? Na ananipatia picha yake kwa nini? Na huyu ADC ako waapi? Maavi ya kuku!”
2. vituvingisana
(39 Comments) | November 4th, 2009 at 2:46 am
Juu, juu, juu sana….
3. acolyte
(179 Comments) | November 4th, 2009 at 8:39 am
Classic pic! This dude looked like he had a ball and then some when he was in Kenya…
4. prousette
(143 Comments) | November 4th, 2009 at 2:43 pm
Sasa, uendelee kufanya hivyooo hivyoo hapo hapo…
5. Our Kid
(41 Comments) | November 5th, 2009 at 3:46 pm
“Huko una-point, kunaitwa Othaya. Na huko ndio mimi nilitoka. Na ndio nitarudiiiii. Wewe wacha kujifanya ndege. Hata kama unakimbia kama Wakiihuri. Hauna mabawa. Kwa hivyo wewe ni bure”
6. Our Kid
(41 Comments) | November 5th, 2009 at 3:47 pm
‘Wewe kazi yako ni kufanya nini? Kukimbia? Ukienda wapi? Kwa hivyo wewe ni mkimbizi? Kwa nini hujaenda Dadaab au Kakuma? Huko kuna wakimbizi wengiiiiiii’
7. Our Kid
(41 Comments) | November 5th, 2009 at 3:48 pm
“Na hizo gold medal nimesikia unajaza kwa kikapu, zita kusaidia nini? Hiyo ka-shirti umevaa, hata hakatoshi. Tunaona underwear yako. Ukiwa na gold na hautumii tutakupeleka huko Goldenberg Inquiry. Eh… chunga kidole”
8. SupremeGREAM
(18 Comments) | November 22nd, 2009 at 12:56 pm
I think it would have helped if Kibaki pulled the the pose too. That would have been iconic
9. donworry
(57 Comments) | November 29th, 2009 at 5:27 am
Good pic and good comments. Here I was thinking that maybe sometimes I judge our leaders too harshly.
Why is it that they must be the centre of every single news item - the other day it was the world-cup - the photo of “our president” drooling over this cup nearly made me sick!
sorry.