9

Kibaki Strikes Bolt

Posted November 3rd, 2009 in Reflections by M

kibakibolt

9 Responses so far.

  1. archer says:

    I bet Baks was thinking “Huyu kubaff ni naani? Na anavuta mkono kwa hewa kwa nini? Na ananishika mabega kwa nini? Na ananipatia picha yake kwa nini? Na huyu ADC ako waapi? Maavi ya kuku!”

  2. vituvingisana says:

    Juu, juu, juu sana….

  3. acolyte says:

    Classic pic! This dude looked like he had a ball and then some when he was in Kenya…

  4. prousette says:

    Sasa, uendelee kufanya hivyooo hivyoo hapo hapo…

  5. Our Kid says:

    “Huko una-point, kunaitwa Othaya. Na huko ndio mimi nilitoka. Na ndio nitarudiiiii. Wewe wacha kujifanya ndege. Hata kama unakimbia kama Wakiihuri. Hauna mabawa. Kwa hivyo wewe ni bure”

  6. Our Kid says:

    ‘Wewe kazi yako ni kufanya nini? Kukimbia? Ukienda wapi? Kwa hivyo wewe ni mkimbizi? Kwa nini hujaenda Dadaab au Kakuma? Huko kuna wakimbizi wengiiiiiii’

  7. Our Kid says:

    “Na hizo gold medal nimesikia unajaza kwa kikapu, zita kusaidia nini? Hiyo ka-shirti umevaa, hata hakatoshi. Tunaona underwear yako. Ukiwa na gold na hautumii tutakupeleka huko Goldenberg Inquiry. Eh… chunga kidole”

  8. SupremeGREAM says:

    I think it would have helped if Kibaki pulled the the pose too. That would have been iconic

  9. donworry says:

    Good pic and good comments. Here I was thinking that maybe sometimes I judge our leaders too harshly.

    Why is it that they must be the centre of every single news item – the other day it was the world-cup – the photo of “our president” drooling over this cup nearly made me sick!

    sorry.

Leave a Reply





Afrigator